Monday, September 26, 2016

DADA WA SHOKA HUYU, HATAKI UTANI KABISA....ANAPIGA BASI SI MCHEZO, TENA BASI GUMU AINA YA SCANIA LENYE GIA NYINGI. RUTI ZAKE NI DAR - TUNDUMA!

Akina dada hawataki utani kabisa, nasikia huyu dada yupo vizuri sana barabarani, na ni safari ya mbali sana anayoifanya Dar es salaam to Tunduma. Si mchezo akina dada wasasa, hongera sana dada kwa uhasiri huu....maana fujo za barabarani ni nyingi mno, sasa wewe unastahili pongezi nyingi mno.

No comments:

WATEMBELEAJI