Tuesday, September 13, 2016

FAMILIA YA WATOTO WENGI...TIMU KABISA YA MPIRA WA MIGUU!

Mshirikishe Mungu kwa kila jambo ana faida sana, akili za kibinadamu tu bila msaada wa ki-Mungu hakuna lolote. Ila kutimiza agizo la kuzaa nawapa hongera sana!

Watoto wote hawa ni wa bwana Irineu Cruz na mkewe Jucicleide Silva, wako 13 kama mnavyo waona kwenye picha hii.
Wanasema kwa miaka 20 wamekua wakijaribu kupata mtoto wa kike, lakini hawajafanikiwa na hivyo sasa wanasema; mpaka kieleweke wataendelea tu kujaribu hadi pale watakapo pata binti......watoto wao hawa wote wa kiume tayari wametosha kuwa timu ya mpira wa mguu ya kanda kabisa!

No comments:

WATEMBELEAJI