KAZI YAKO NI JINA LAKO
Wednesday, September 9, 2009
CHAKULA CHA MWISHO TANZANIA NA MARAFIKI.
Tukiagana agana, kwa chakula cha usiku na marafiki wapendwa huko Dar es salaam kabla sijarudi huku Italy. Ilikuwa ni furaha sana, na huzuni kuondoka nchini kwangu Tanzania baada ya kumaliza likizo yangu.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WATEMBELEAJI
Web Counters
No comments:
Post a Comment