Wednesday, March 24, 2010

MAADHIMISHO YA SIKU YA KIFUA KIKUU RUVUMA.

Baadhi ya wananchi wa kata ya Ruvuma, Manispaa ya Songea wakiwa katika msululu kupima afya zao hasa; VVU/ UKIMWI na makohozi katika kilele cha maadhimisho ya siku ya kifua kikuu Duniani kilichoadhimishwa ki mkoa mtaa wa Ruvuma chini, Songea mjini. Leo Jumatano.

Kutoka kwa LUKWANGULE ENTERTAINMENT.

ROURCE; Juma Nyumayo.

No comments:

WATEMBELEAJI