Monday, July 5, 2010

HUYU NDIO NABII TITO....NABII WA UONGO NA POMBE!

Nabii wa uongo Tito, anasema; pombe ndo tiba ya magonjwa yote. Msikilize hapo chini kwenye video, kazi tunayo kweli kweli!!!!

1 comment:

ray njau said...

Kwa ujumla wakristo wengi hawana utamaduni wa funzo la biblia la nyumbani.Funzo la biblia la nyumbani ni progamu ya ulimwenguni pote inayoendeshwa bila malipo kwa ajili watu wenye tamaa ya kupata ufahamu wa maandiko matakatifu.Biblia ipo wazi kuhusu,ulevi,uasherati,uzinzi,wizi na matendo yote ambayo ni chukizo kwa Mung.Lakini kutokana na ukosefu wa utamduni wa kujifunza biblia miongoni mwetu tunakijikuta katika hali ya kuwashangaa akina Tito na wafuasi wake.

WATEMBELEAJI