Monday, February 7, 2011

JUA LILE LITELEMKE MAMA...NYOTA NAZO ZITELEMKE MAMA!

Kuna jamaa yangu mmoja hivi karibuni alinikumbushia wimbo tulio kuwa tukiimba shuleni wakati wa mchaka mchaka, nikaukumbuka sana huu wimbo wa; Jua lile litelemke mama....nyota nazo zitelemke mama! aiyaaa iyaaaa iyaaa iyamama. Nikifikiria hata maana yake huwa sioni kabisa, lakini tulikuwa tunaupenda sana kuimba, karibu kila asubuhi.

1 comment:

Yasinta Ngonyani said...

Ahsante kwa wimbo nami umenikumbusha ni kweli kila asubuhi huu wimbo ulikuwa haukosekani kabisa.

WATEMBELEAJI