UBUNIFU.. WAKIWEZESHWA WANAWEZA KUFANYA MAAJABU!
Mjasiriamali mmoja ambaye hakufahamika jina lake, mkazi wa Kijiji cha Iguguno, Wilayani Iramba, Mkoani Singida....akiuza ndege aliyotengeneza yeye mwenyewe kwa ubunifu wake. Alikuwa akiuza kwa Sh.35,000/=Vipaji hivi....watu kama hawa wakiwezeshwa wanakuwa balaa kwa kubuni wa mambo mbalimbali, je nani wa kuwawezesha??
No comments:
Post a Comment