Sunday, October 30, 2011

MANENO MAZURI YA JUMAPILI HII YA 30 YA MWAKA!

Ee Mungu Mwenyezi wa milele, utuzidishie imani, matumaini na mapendo. Utuwezeshe kupenda unayoamuru, tustahili kupata na hayo unayoahidi.

Kristu ametupenda, akajitoa kwaajili yetu sadaka na dhabihu kwa Mungu....kuwa harufu ya manukato.

- Nasi tunakupenda sana, tunakuomba siku zote utuangalie kwa huruma yako....tupate kuishi vizuri kwa kuwapenda jirani zetu kama nafsi zetu, utuwezeshe pia kuwa nawe siku zote kwa ukaribu zaidi.

No comments:

WATEMBELEAJI