Friday, December 23, 2011

BARABARA YA MOROGORO - IRINGA....NI BALAA KWA AJALI.



Hii barabara ya Morogoro - Iringa ni balaa kweli....huwa kila nikipita lazima nikute ajali zimetokea, maana ina magari mengi sana....barabara yenyewe nyembamba na kona kwa sana. Kuwa mwangalifu sana unapoenda pande za huko!

No comments:

WATEMBELEAJI