Thursday, December 22, 2011

GARI LA MWENYEKITI MJENGWA LAPATA AJALI.















Hatari lakini salama.....gari la Mkuu Mwenyekiti Mjengwa lapata ajali, lakini hakuna mtu aliyepoteza maisha wala kuumia, Mwenyezi Mungu ashukuriwe. Mkuu Mjengwa namfahamu kwa ukaribu sana, na nimekutana naye mara 3 hivi na gari lake hili, ninalifahamu nikiliona tu! najua Mkuu Mjengwa yupo mitaa hii...gari hili limekuwa kama kielelezo chake Mkuu Mjengwa. Mwezi wa 9 nilikutana naye Dodoma, kabla sijamwona niliona gari lake hili limepaki sehemu nikajua yupo mitaa ya Dom, hivyo sikusita kumtafuta na kuonana naye na kufurahi pamoja.


- Pole zangu kwa Mkuu Mwenyekiti wetu wa Blog ya Mjengwa, kwa kupata shida na gari lake....naamini litarekebishwa na kurudi barabarani. Kila lakheri Mkuu Mwenyekiti Mjengwa!




No comments:

WATEMBELEAJI