Friday, December 30, 2011

SALAMU ZA MWAKA MPYA 2012 KUTOKA NGOMA AFRICA BAND.



NGOMA AFRICA BAND a.k.a FFU YATOA SALAM ZA HERI YA MWAKA MPYA 2012 KWA WADAU WOTE! HAPPY NEW YEAR.

Bendi ya muziki wa Dansi Ngoma Africa Band a.k.a FFU yenye makao yake nchini Ujerumani, inatoa salam za Heri ya Mwaka Mpya 2012 kwa wadau wote, Mabibi na Mabwana, Wakubwa na Watoto popote pale duniani.
Tunawatakieni kila heri na baraka za mwaka mpya 2012, afya njema, maisha bora, furaha, amani, upendo na mshikamano.
- HAPPY NEW YEAR 2012.
www.ngoma-africa.com

No comments:

WATEMBELEAJI