Wednesday, December 21, 2011

TASWIRA ZA MAFURIKO YA JANGWANI - JIJINI DAR ES SALAAM.

Hapa kwakweli ni balaa haswa....ni maeneo ya Jangwani, na hilo jengo lionekanalo la njano ni jengo la Timu maarufu ya Jiji la Dar es salaam, Yanga.

Picha za moja kwa moja kutoka eneo la Jangwani Jijini Dar es salaam - Tanzania, muda mfupi baada ya kuzingirwa na Maji/Mafuriko kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es salaam.....na kufanya eneo la Jangwani kuonekana kama Ziwa.


- Picha hizi zimepigwa na kuletwa na Mdau Bilal Ahmed.



No comments:

WATEMBELEAJI