Kama unapenda kusema uongo....uwe mwangalifu sana na kukumbuka vizuri (Uwe na kumbukumbu nzuri) uwe unakumbuka ulichodanganya....kwani kuna siku uongo wote utakutokea puani.
- Uongo haufai kabisa katika maisha.....uwe mkweli tu jamani, kwanini uwe mwongo? huoni aibu kuhusu uongo wako?
No comments:
Post a Comment