WAATHIRIKA WA MAFURIKO....JIJINI DAR ES SALAAM - TANZANIA!
Waathirika wa mafuriko eneo la Jangwani - Dar es salaam....wakifua nguo zao na kusafisha baadhi ya vyombo vyao walivyofanikiwa kuviokoa. Kama walivyokutwa kwenye Mitaa ya Kongo, Jijini Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment