Saturday, April 21, 2012

HIVI HII MILEGEZO HUWA INASAIDIA NINI? NA INA MAANA GANI?


Uvaaji huu siupendi kabisa, na huwa najiuliza sana....maana yake hasa ni nini? Sipati jibu, kuna kipindi nilimwuliza swali hili kijana mmoja, alinijibu; kuwa mimi ni mshamba tu.....na nimepitwa na wakati, pia alisema; wasichana hupenda sana mvao huu....sasa sijui ni kweli?

No comments:

WATEMBELEAJI