Namshukuru sana Mwenyezi Mungu, kwa kunijalia kusafiri salama katika safari yangu ya kurudi nyumbani Tanzania, moja kwa moja.
Pia nawashukuruni sana ninyi nyote wadau wangu kwa sala zenu......asanteni sana na tupo pamoja daima.
- Nimefurahi sana kurudi nyumbani.
No comments:
Post a Comment