Ndani ya meli kulikuwa na abiria wa makabila tofauti, walikuwa na mizigo. Mbele ya safari meli ilizidiwa....ilibidi mizigo ipunguzwe kwa kutupiwa majini.
Mzungu akatupa computer yake, akisema;'' kwetu zipo tele''. Mchina akatupa boksi la simu, akasema; ''kwetu zipo tele''. Mhindi akamwaga kiroba cha tambuu, akasema; ''kwetu zipo tele''. Mchaga akabaki anahaha tu! hajui atupe nini, kila kitu chake anakionea uchungu, ghafla akapata wazo la kumtumbukiza Mmasai, akisema; Yesu na Maria hawa wapo tele kule Arusha.
No comments:
Post a Comment