Tuesday, September 10, 2013

NIPO NA BOSS WANGU......BIG BRO. KUTOKA CANADA, YAANI UBIZE ILE MBAYA...NIPO NAYE DAIMA HIVYO SINA MUDA KABISA. NAOMBENI MNIVUMILIE MPAKA MWEZI WA 10 KATIKATI. ATARUDI CANADA NDIPO NITAANZA KUHEMA.



Pamoja na Boss wangu  BIG BRO....tukiwa Mitoo, Manyoni - Singida.

No comments:

WATEMBELEAJI