Tuesday, April 4, 2017

MAISHA YANGU NATEGEMEA SANA MSALABA UNIONGOZE KATIKA SHIDA NA RAHA!

Jinsi Msalaba ulivyo kitabu kikuu kwangu, ni muhtasari wa imani yangu, elimu sawia ya maisha yangu ya kimaadili na ni somo la upendo alionionyesha Bwana Yesu Kristo pale msalabani katika kipindi hiki cha Kwaresma. Kila roho inatiwa moyo wa kueleza zaidi ibada kwa Damu Takatifu ya Yesu.

No comments:

WATEMBELEAJI