-Yaani haya mabasi sijui yatandelea kuua mpaka lini, kama serikali haiweki mkazo wa kweli ni balaa!! Mbona nchi za wenzetu hazitokei mara kwa mara ajali kama hizi? Kwani wenyewe hawana mabasi au?
MUNGU AZILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO ZA MAREHEMU HAWA 19, AMIN!
No comments:
Post a Comment