Bao la timu ya Lecce, lakini halikuzaa matunda baada ya ushindi wa kishindo wa Cesena kwa bao 2-1, mabao yote mawili yalifungwa na kijana Malonga, kutoka Congo, jana usiku mechi hii ilichezwa. Matarajio ni makubwa sasa ya kupanda daraja la kwanza la Italia (Serie A). Ninafurahi sana maana ni mshangiliaji mkubwa wa timu hii ya Cesena. Pia timu hii ya Lecce itapanda daraja, maana ndio inaongoza ligi hii ya daraja la pili (Serie B).
Forza Cesena....!!!!! Cesena Oyeeee....!!!!
No comments:
Post a Comment