Mapadri hawa walikufa katika ajali ya gari, waliokuwa wakisafiri kutoka Kongwa - Dodoma kwenda Dar es salaam, tayari na safari ya kurudi kwao Italia...lakini bahati mbaya mauti yakawakuta katika ajali hiyo. Ajali hiyo ilitokea tarehe 22 Novemba 2011 katika eneo la Ruvu - Mkoani Pwani.....baada ya kugongana uso kwa uso na Lori.
Tuesday, November 29, 2011
MISA YA MIILI YA MAPADRI WATATU NA KIJANA MLEI.
Mapadri hawa walikufa katika ajali ya gari, waliokuwa wakisafiri kutoka Kongwa - Dodoma kwenda Dar es salaam, tayari na safari ya kurudi kwao Italia...lakini bahati mbaya mauti yakawakuta katika ajali hiyo. Ajali hiyo ilitokea tarehe 22 Novemba 2011 katika eneo la Ruvu - Mkoani Pwani.....baada ya kugongana uso kwa uso na Lori.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Marehemu wote wastarehe kwa amani mahali pema peponi. AMINA.
Post a Comment