NILIKUTANA NA HII, AMBAPO RIDHIWANI KIKWETE ALIKUWA AKISEMA;
Nilikutana na hii katika mtandao, na nikaipenda sana....ambapo mtoto wa Rais wetu Mh.Jakaya Kikwete., yaani Ridhiwani Kikwete, alikuwa kaandika hivi;
Chipukizi wa Chadema. Safi sana hii....inaonyesha dira fulani. CCM haitishwi wala kumalizwa na Chadema....inajimaliza yenyewe kwa kushindwa kusimamia maswala ya msingi kabisa ya Wananchi wa Tanzania.
No comments:
Post a Comment