Monday, February 20, 2012

HATARI HII...PIKIPIKI MOJA WATU 5 (WAKIWEMO WATOTO WADOGO).

Mwendesha Pikipiki katika Manispaa ya Morogoro, alimaarufu kama Bodaboda....akiwa amewapakia abiria wanne, jambo ambalo ni kinyume kabisa na sheria za Usalama Barabarani, wakati akiwasafirisha kutoka sehemu moja kwenda nyingine....ambapo ni hatari sana kwa usalama wa maisha yao.... kama alivyonaswa na Kamera ya Juma Mtanda, katika eneo la Kihonda, Kanisani - Katika Mji kasoro Bahari.

- Picha na Subi (kwa hisani ya Juma Mtanda).

No comments:

WATEMBELEAJI