Wednesday, February 22, 2012

KWARESIMA NJEMA KWENU NINYI NYOTE WADAU WANGU!

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es salaam, Eusebius Nzigirwa......akipaka majivu Waamini leo.... kama ishara ya kuanza mfungo wa Kwaresima.

- Nami nasema; Tubuni na kuiamini Injili.

No comments:

WATEMBELEAJI