Monday, February 27, 2012

MAJUKUMU YA ULEZI KWA KARNE HII NI YA WOTE!

Majukumu ya malezi ya watoto kwa karne hii ni ya wote......haijalishi jinsia, pichani Bwn.Gibson Mwalibwa, akiwa amembeba mtoto wake wa mwaka mmoja na miezi 8, wakati Mama mzazi akipata huduma za matibabu kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mbeya.

- Blog hii inakupa hongera sana bwana Gibson, kwa kuonyesha mfano mzuri kwa akina Baba wote....na kuwaambia ujumbe huu mzuri; Kulea watoto ni jumkumu la wazazi wote wawili, sio kazi za akina mama peke yao tu....hata akina baba pia ni jukumu letu sote.

- Picha na Michuzi Jr.....a.k.a Mzee wa Blog ya Jiachie.

No comments:

WATEMBELEAJI