- Blog hii inakupa hongera sana bwana Gibson, kwa kuonyesha mfano mzuri kwa akina Baba wote....na kuwaambia ujumbe huu mzuri; Kulea watoto ni jumkumu la wazazi wote wawili, sio kazi za akina mama peke yao tu....hata akina baba pia ni jukumu letu sote.
- Picha na Michuzi Jr.....a.k.a Mzee wa Blog ya Jiachie.
No comments:
Post a Comment