Sunday, February 26, 2012

MANENO MAZURI YA JUMAPILI YA 1 YA KWARESIMA!

Ataniita nami nitamwitikia....nitamwokoa na kumtukuza, kwa siku nyingi nitamshibisha.

Ee Mungu Mwenyezi, utujalie tuzidi kuifahamu siri ya Kristu na kupata manufaa yake katika mwenendo wetu mwema kwa mfungo wa Kwaresima wa kila Mwaka.

MTU HATAISHI KWA MKATE TU, ILA KWA KILA NENO LITOKALO KATIKA KINYWA CHA MUNGU.

BWANA ATAKUFUNIKA KWA MANYOYA YAKE, CHINI YA MBAWA ZAKE UTAPATA KIMBILIO.

No comments:

WATEMBELEAJI