Sunday, February 26, 2012

MWENYEKITI WA UVCCM MKOA WA DODOMA!

Mwenyekiti wa UVCCM - Mkoa wa Dodoma, Ndg.Anthony Mavunde, akiwasili katika viwanja vya shule ya Sekondari Sejeli - Kongwa, Dodoma......katika ziara ya siku moja iliyoambatana na ufunguzi wa Tawi la UVCCM Sekondari ya Sejeli ambapo vijana zaidi ya 200 walijiunga na UVCCM....tarehe 25.02.2012.

- Picha na Anthony Mavunde.

No comments:

WATEMBELEAJI