Thursday, February 23, 2012

SAFARI ILIANZA NA LORI...KUPELEKA DAWA HOSPITAL.2011.

Tunajiandaa kwa safari ya kwenda huko Sindida Vijijini, tukitokea Dar es salaam, kupeleka dawa Hospitalini...na mimi sikukosa kuwepo. Hii ilikuwa katika likizo yangu ya Mwezi wa 8 Mwaka jana.
Mafuta a.k.a (Wese) likiwekwa tayari kuanza safari ya KM 500..kwenda Singida.
Dereva...ngoja ninunue zawadi ya matunda na mboga kwa watoto. Hapa maeneo ya Mikese - Morogoro.
Minzani ya Kibaha, katika kupima uzito.
Chalinze...kunywa chai kidogo.

No comments:

WATEMBELEAJI