Wednesday, February 29, 2012

UHARIBIFU MKUBWA WA MAZINGIRA UNAOFANYWA NA KIWANDA CHA SARUJI CHA WAZO HILL - JIJINI DAR ES SALAAM!.


Habari za leo.....kwa masikitiko makubwa sana sisi Wananchi tunaoishi maeneo ya karibu au pembezoni mwa Kiwanda cha Saruji cha Wazo Hill, Jijini Dar es salaam....tunaathirika na uchafuzi wa hali ya hewa unaotokana na moshi na vumbi wa Kiwanda hicho!
Kama unavyoona katika picha zote mbili......tunaomba kufahamishwa kama kuna hatua zozote zinazochukuliwa au kudhibitiwa na mamlaka husika NEMC.....jamani je tutapona kweli kwa hali kama hii???

- Mdau Mwanamazingira.

No comments:

WATEMBELEAJI