NDUGU ZANGU WA MASAI BWANA!!!!!!!!
Mmasai mmoja alipopewa nafasi msibani ya kutoa salamu za rambirambi huku akiwa mbele ya Jeneza, akaanza kusema hivi; Msiba oyeeeeeeee...!!!!!!! Mazishi safiiiiiii???? Jenesa mependeza, ijapendesaaaaa? kama naona wifu kufa na wewe basi.....pumbafu senu!
- Kazi kweli kweli...!!!!
No comments:
Post a Comment