Nami sikuweza kukosa sikukuu hii nzuri ya furaha tele ya Alessandro kuwa Padri wa C.PP.S. maana amekuwa rafiki wa kweli kabisaa anayenijali mno. Asante sana Ale kwa yote na kwa upendo wako kwa Watanzania. Ninakuombea daimaa uendelee kuwa mtumishi mwema wa Bwana katika kuchunga kondoo wake.
No comments:
Post a Comment