NILIENDA KUTEMBELEA ZABIBU ZA WENZETU.....NAMI ZA KWANGU ZA MPUNGUZI - DODOMA HIZO HAPO!
Kwakweli utofauti upo sana kwa mashamba ya wenzetu....lakini mdogo mdogo tu, maana hata mbuyu ulianza kama mchicha. Nami najikongoja tu huku Nkulabi, Mpunguzi - Dodoma.
No comments:
Post a Comment