Tuesday, September 26, 2017

KABLA HUJAFA....HUJAUMBIKA!

Hivyo tumshukuru Mungu kwa kila jambo....sio kujidai tu, kuwa sisi ni sisi....Mungu akikupa kila kitu sio kwamba wewe ndo zaidi ya zaidi, bali ni bahati tu. Hivyo tukumbuke kushukuru kwa kila jambo jamani....leo unaamka mzima kesho hujui. Sifa na shukrani ni kwa Mungu pekee!

No comments:

WATEMBELEAJI