KAZI YAKO NI JINA LAKO
Sunday, July 8, 2018
CHEO NI DHAMANA TU AISEE...!!!!
Cheo cha kuteuliwa ni sawa kama kupandishwa kwenye baiskeli, huwezi kuketi juu ya baiskeli daima, kuna wakati wa kupanda, wakati wa kupiga pedali na wakati wa kushuka. Hivyo ni muhimu sana kuhakikisha miguu yako haisahau kutembea siku ukishuka.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WATEMBELEAJI
Web Counters
No comments:
Post a Comment