Watoto hawa wakiongelea wakati mgumu kama huu wa uchumi wa Dunia ulivyo yumba, wanasema;
Hakuna kuwa na nywele, hakuna kuwa na meno, hakuna kuwa na misuri, hakuna kazi na hakuna kuwa na gari....mambo yakiendelea hivi, kama hayawi mazuri; Itakuwa ni shida hata kupata wasichana wa kutoka nao kwa weekend!
No comments:
Post a Comment