Nikila posi na kumsikiliza kwa makini Mkuu Madaraka Nyerere, mtoto wa Mwalimu, wakati akitoa maelezo ya Mwalimu Nyerere wakati wa uhai wake. Kwakweli alitukaribisha vizuri sana Mkuu Madaraka. Agosti mwaka huu wa 2010. Nilipo tembelea huko Butiama - Mwitongo.
No comments:
Post a Comment