Wednesday, November 3, 2010

NJIA YA IRINGA -SONGEA!

Milima maarufu ya Lukumburu, inayofahamika na kuheshimika na madereva wa njia hiyo kwa kona zake kali na za hatari. Ukiwa unasafiri kutoka Njombe kwenda Songea, dereva lazima uwe makini sana na hizi kona. Cha msingi ni kuhakikisha unakaa katika saiti yako muda wote, hasa hasa kwenye kona.


Hapa ni kipande cha kutoka Njombe kuelekea Makambako. Ni ile sehemu ya mashamba ya chai.


Stendi ya Treni ya Makambako - TAZARA. Ni stendi muhimu sana kwa wafanyabiashara wa mbao toka Mkoa wa Iringa. Bidhaa kuu inayo safirishwa toka hapo ni mbao, katika misitu iliyopo maeneo kadhaa Mkoani Iringa.




Misitu inayotoa mbao ya Mafinga - Iringa.



No comments:

WATEMBELEAJI