Monday, February 7, 2011

HAPA NDIPO UNAONA UMUHIMU WA KUFUNGA MKANDA!

Kama angelikuwa kafunga mkanda naamini asinge chomoka hivi mpaka chini, jamani tujitahidi kufunga mikanda kwenye magari yetu wakati tunasafiri. Ni mhimu sana, pia mikanda inaokoa sana maisha yetu!

No comments:

WATEMBELEAJI