Thursday, February 3, 2011

NIKIWA NA MDAU ROGGER KUTOKA ZANZIBAR NI FURAHA SANA!

Hapa Malaika alikuwa ananichekesha sana kwa kunitania sana....akisema umebaki ubunge tu na koti la suti kama hili. Maana huwa si kawaida yangu kabisa kuvaa vitu kama hivi, walishangaa sana na kunitania sana!
Nyumbani kwa Malaika na Rogger.

Mnapo kutana Watanzania Ugaibuni ni furaha sana, tena ukizingatia mji huu wa Cesena ninapo kaa mimi......ni mimi peke yangu Mtanzania. Mara kwa mara Rogger huwa anakuja kukaa kwa muda, yeye ni mzaliwa wa Zanzibar, kaowa mke wa hapa Cesena, ambae ni Malaika mwanzilishi wa kituo cha watoto yatima cha Makalala Children's Home. Huwa nafurahi sana kipindi wanapo kuwepo hapa, maana ni company kubwa sana kwangu.


No comments:

WATEMBELEAJI