KAZI YAKO NI JINA LAKO
Tuesday, December 6, 2011
MSIMU WA SIKUU......USAFIRI HUWA WA MBINDE!
Kuelekea msimu wa sikukuu za Krismas na Mwaka mpya, usafiri kwa abiria umekuwa mgumu...kama abiria hawa kwenye picha hii waliokutwa Kituo Kikuu cha Mabasi Msavu - Mkoani Morogoro...wakisubiri usafiri wa kuelekea Dar es salaam, jana.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WATEMBELEAJI
Web Counters
No comments:
Post a Comment