Monday, December 12, 2011

PADRI MMOJA NA MTOTO; MAZUNGUMZO YAO YALIKUWA HIVI;

Padri mmoja alikuwa mgeni wa Jiji la Dar es salaam, hakujua njia ya Posta akamwona mtoto mmoja na kumwuliza; Mwanangu unaijua njia ya Posta?

Mtoto akamjibu; Nenda moja kwa moja mpaka njia panda fuata kulia.

Padri akamshukuru sana mtoto, kisha akamwambia; Mimi ni Padri mpya hapa Mjini, ukija Kanisani Jumapili nitakuonyesha njia ya Peponi.

Mtoto; Akacheka sanaaaa!!!!! na kumwambia; Njia tu ya Posta huijui, utaijua njia ya Peponi?!!!!

No comments:

WATEMBELEAJI