Saturday, December 17, 2011

RAIS KIKWETE..AREJEA NCHINI LEO AKITOKEA MJINI KAMPALA!

Rais Jakaya Kikwete, akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais, Mh.Bilal na Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda, katika Uwanja wa Ndege wa Dar es salaam.....mara baada ya kurejea kutoka Mjini Kampala - Uganda, alikohudhuria Mkutano wa siku mbili wa Wakuu wa Nchi za Maziwa Makuu.

No comments:

WATEMBELEAJI