WANA MBEYA WASHEREHEKEA KWA AMANI NA UTULIVU X-MASS!
Familia mbalimbali leo zimetoka kusherehekea sikukuu ya Noeli kwa amani na utulivu. Katikati ya Jiji la Mbeya, watoto wakitembea kwa furaha...kufurahia sikukuu ya X-mass. Haya ni maeneo ya Uzunguni (Weru Garden) watoto wakisubiri Toto Disco.
No comments:
Post a Comment