Tuesday, January 10, 2012

VITUKO VYA MADENGE HIVI HAPA!

Madenge na Babu yake walikuwa kwenye matembezi na maongezi yao yakawa kama ifuatavyo;

BABU; Mjukuu wangu Madenge, jifiche maana leo hujaenda shule na Mwalimu wako huyo anakuja!

MADENGE; Babu jifiche wewe maana nimetoa taarifa kuwa sijaenda Shule kwa kuwa Babu yangu amefariki.

No comments:

WATEMBELEAJI