Askofu wa Jimbo Katoliki la Mbeya - Tanzania, Evaristo Changula........aongoza maandamano ya Jumapili ya Matawi kuelekea Kanisa la Bikira Maria wa Fatima, Kanisa la hija Jijini Mbeya.
Kwa mbele; Kanisa la Bikira Maria wa Fatima......Kanisa la hija Mwanjelwa - Jijini Mbeya.
- Picha na Mbeya yetu Blog.
No comments:
Post a Comment