Kuna watu ambao sitaki kuwapoteza hata kuwasahau kabisa maishani mwangu......kwani roho zao hazibebi; Chuki, Majivuno, Dharau, Kiburi na Jeuri.......bali roho zao ni kama lulu, hubeba; Upendo, Tabasamu daima, Ukarimu, Heshima, Imani na Kujali sana.
- Hakika wewe mdau usomayo hii msg sasahivi hapa ni mmoja kati yao.....na kama sio basi jitahidi uwe mmoja wao.
No comments:
Post a Comment