Haya kazi ni kwenu masharobaro mlioko ulimwenguni, kama buti ya gari lako haiko hivi au zaidi.....basi ujue hujakamilika usharo wako. Usharo gharama ati eehh...!!!!!
- Na mimi naongezea; kwa barabara zetu za vumbi.....hii buti iwe tait ya kutosha vinginevyo balaa tupu!
No comments:
Post a Comment