Monday, October 14, 2013

TUTAKUKUMBUKA DAIMA BABA WA TAIFA LETU.....MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE.

Nakuombea daima Baba wa Taifa....nawe siku uweze kuwa mwenye heri kama mwenzako hapo kwenye picha. Unastahili sana kuwa Mtakatifu.

- Mwenye heri Papa Yohani Paulo wa II, utuombee
Pia tunakuomba utuombee kwa Mwenyezi Mungu, ili Baba wa taifa apate kuwa Mwenye heri kama wewe.

No comments:

WATEMBELEAJI