Thursday, June 10, 2010

NIKIWA NA WAJOMBA WA UK: MALAIKA NA DENZIL.

Mjomba Denzil akinipa somo; Hapa unaweza ukafanya hivi na hivi au sio anko?...hata mkubwa hufundishwa tu wakati mwingine!
Tukifurahia jambo na wajomba, kwenye libeneke letu.

Pamoja na wajomba; Malaika na Denzil.


Story kama kawaida.... zikiendelea na wajomba.



Pamoja na wajomba tukiendelea kushangaa habari mbalimbali za kwenye mtandao.




Salamu sana kwenu nyote kutoka kwa wajomba hawa wa UK; Malaika na Denzil. Kwakweli wamenikaribisha vizuri sana, na nimejisikia kama nipo nyumbani. Walipenda sana kutoa salamu zao kwa wadau wote hapa bila kusahau hata mmoja.





3 comments:

Yasinta Ngonyani said...

Saalamu kwenye pia. Mmependeza wenyewe. Safi sana kuonana na wajomba hivi. UPENDO DAIMA

mangi said...

Shikamoo mjomba;naomba pipi;choda na bichuti?

Baraka Chibiriti said...

Ha ha haaaa...mjomba Njau utapata tu pipi hamna shida.

Upendo Daima Dada yangu Yasinta.

WATEMBELEAJI